Header Ads

ad728
  • BREAKING NEWS

    LIVE : | PREMIER LEAGUE



    MICHEZO YA LEO JUMAMOSI, 04 MARCH 2018.

        Burnley   15:30   Everton
                 Leicester City   18:00   AFC Bournemouth
    Southampton   18:00   Stoke City 
                Swansea City   18:00   West Ham United 
    Tottenham Hortspurs   18:00   Huddersfield Town 
                                 Watford   18:00   West Bromwich Albion 
                    Liverpool   20:30   Newcastle United 

    __________________________________________________________________

    Mchezo wa kwanza na unaondelelea hadi  hivi sasa .........



    HT
    Burnley   O-1   Everton
                                   Cenk Tosun 20'
      
    • (20')  Ni goli la kwanza kwa mshambuliaji huyu kutoka Besiktas ya Uturuki ! Ilikua ni free kiki ambayo ilipigwa kuelekea lango la Burnley lakini  haikuzaa matunda na baada ya muda mfupi Everton wakawasukuma Burnley kuelekea lango lao ndipo Walcott alipopiga krosi kwenda kwenye eneo la 18 ikamkuta Coleman ambaye aliurudisha nyuma mpira ukamkuta Tosun ambaye alikua peke yake na kufunga goli kirahisi kwa kichwa.
    • (56')  GOAAAAALLLLL!!!!!!! Barnes anaisawazishia Burnley baada ya kupokea pasi zuri kutoka kwa Lowton ambapo mpira ulielekea kwenye boksi ya Everton na kumfanya Barnes kupiga shuti kali lililomshinda mlinda mlango wa Everton Jordan Pickford na kufanya matokeo kuwa 1-1.
    • (80')  GOAAAAAALLLL!!!!!!! Burnley wanapata bao la kuongoza baada ya kona nzuri kutoka kwa Gudmundsson ambayo ilielekea moja kwa moja hadi kichwani kwa Wood ambaye alikuwa karibu na mlinda mlango wa Everton na kufunga goli kirahisi, Burnley 2-1 Everton.
    • (86')  KADI NYEKUNDU!!  Williams anatolewa nje .
    • (90+3')  MPIRA UMEMALIZIKA!!!!!!

    FT
    Burnley  2-1  Everton
    Ashley Barnes 56'               Cenk Tosun 20'
    Chris Wood 80'                                          

    ........................................................................................................................................................................................................
     
               MATOKEO YA MICHEZO ILIYOCHEZWA SAA 18:00 JIONI.

                  Leicester City   1-1   AFC Bournemouth
              Riyad Mahrez 90+7'            Joshua King (P) 35'  
        
                  Southampton   0-0   Stoke City

                  Swansea City   4-1   West Ham Unite
                 Sung Yueng Ki 8'        Michail Antonio 79'
       Mike Van der Hoorn 32'
                    Andy King 48'
            Jordan Ayew (P) 63'

          Tottenham Hortspurs   2-0   Huddersfield T own
    Heung Min Son 27', 54'
     
                           Watford   1-0   West Bromwich Albion
                  Troy Deeney 77'

    .............................................................................................................................

          MCHEZO WA MWISHO ULIOCHEZWA SAA 20:30

    • Liverpool iliwakaribisha Newcastle United katika uwanja wa Anfield , Pia ulikuwa ni urejeo mzuri wa kocha wa Newcatle United Rafa Benitez ambaye aliacha kumbukumbu nzuri ya ubingwa wa UEFA Champions League akiwa na Klbu hiyo mwaka 2005.

                                                    FT
                                  Liverpool   2-0   Newcastle United
                    Mohamed Salah 40'
                    Sadio Mane 55'

    Sadio Mane (katikati) akishangilia na Wenzake baada ya kufunga goli dhidi ya Newcastle United


     

    No comments

    Post Top Ad

    ad728

    Post Bottom Ad

    ad728